Meza
- Meza ni neno la kiswahili ambalo lina maana zaidi ya moja, Neno hili linaweza kumaanisha:
Meza (kundinyota)
- Meza (kwa Kilatini na Kiingereza Mensa) ni jina la kundinyota ndogo kwenye angakusi.
Meza (samani)
- Meza (kutoka Kireno na kwa asili zaidi kutoka Kilatini "mensa") ni kipande cha samani. Tunaweka vitu juu ya meza, mara kwa mara na kwa muda mfupi, kwa mfano chakula, visu, vikombe vya vinywaj
Meza סוואהילית הגייה עם משמעויות, מילים נרדפות, הפכים, תרגומים, משפטים ועוד.