Ramani
- Ramani ni picha - kwa kawaida mchoro - ya dunia au sehemu au sifa zake.
Ramani ya nyota
- Ramani ya nyota ni ramani inayoonyesha nyota zinazoonekana kwenye anga wakati wa usiku. Mkusanyiko wa ramani za nyota katika kitabu kimoja huitwa atlasi ya nyota.
Ramani סוואהילית הגייה עם משמעויות, מילים נרדפות, הפכים, תרגומים, משפטים ועוד.