Katiba
- Katiba ni sheria au kanuni zinazoaInisha jinsi ambavyo nchi, chama, au shirika vitakavyoendesha shuguli zao.
Katiba ya Kenya
- Katiba ya Kenya ndiyo sheria kuu kabisa ya Jamhuri ya Kenya. Katiba ya mwaka 2010 ilichukua nafasi ya katiba ya wakati wa uhuru ya mwaka 1963.
Katima Mulilo
- Katima Mulilo ni mji mkuu wa Mkoa wa Caprivi nchini Namibia. Idadi ya wakazi wake ni takriban 27,860.
Kitikar
- Kitikar ni lugha ya Kiniger-Kongo nchini Kamerun inayozungumzwa na Watikar. Mwaka wa 1989 idadi ya wasemaji wa Kitikar imehesabiwa kuwa watu 25,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani
Kadi karadha
- Kadi karadha (au Kadi ya mkopo (kwa Kiingereza: credit card) ni kadi ya kulipia iliyotolewa kwa watumiaji (wamiliki wa kadi) ili kuwawezesha kulipa mfanyabiashara kwa bidhaa na huduma.
Katika סוואהילית הגייה עם משמעויות, מילים נרדפות, הפכים, תרגומים, משפטים ועוד.