Kamera
- Kamera ni kifaa kinachochukua picha. Ina tundu moja dogo tu kwa kupokea nuru inayoacha picha ndani yake ama kwenye filamu au kwenye kihisio elektroniki.
Kameyama wa Japani
- Kameyama (9 Julai, 1249 – 4 Oktoba, 1305) alikuwa mfalme mkuu wa 90 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Tsunehito, na alikuwa mwana wa saba wa Go-Saga.
Kamena
- Kamena ni kata ya Wilaya ya Geita katika Mkoa wa Geita, Tanzania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 21,700 waishio humo.
Kameka סוואהילית הגייה עם משמעויות, מילים נרדפות, הפכים, תרגומים, משפטים ועוד.