Dodoma (mji)
- Dodoma ni mji mkuu wa Tanzania na pia ni Jiji.
Dodoma vijijini
- Dodoma Vijijini ilikuwa wilaya moja ya Mkoa wa Dodoma wenye msimbo wa posta 41200. Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa Wilaya ya Dodoma Vijijini ilihesabiwa kuwa 440,565 [1].
Dodoma Makulu
- Dodoma Makulu ni jina la kata ya Dodoma Mjini katika Mkoa wa Dodoma , Tanzania yenye msimbo wa posta 41107. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 17097
Doto Mashaka Biteko
- Doto Mashaka Biteko (amezaliwa 30 Desemba 1978) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Dodoma סוואהילית הגייה עם משמעויות, מילים נרדפות, הפכים, תרגומים, משפטים ועוד.