Bunge
- Bunge ni chombo cha kutunga sheria na pia ni mmoja wa mihimili mitatu inayounda mfumo wa utawala kulingana na mgawanyo wa madaraka katika dola.
Bunge la Tanzania
- Bunge la Tanzania ni baraza la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linalotunga sheria na kuisimamia serikali katika utekelezaji wa majukumu yake.
Bunge la Taifa la Kenya
- Bunge la Taifa ni chumba cha chini cha Bunge la Kenya. Kabla ya Bunge la 11, hilo lilikuwa bunge la chumba kimoja, na mpaka mwaka 1966 la vyumba viwili.
Bunge la Umoja wa Afrika
- Bunge la Umoja wa Afrika ni mkutano wa wawakilishi wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika.
Bunge la jimbo la Illinois
- Bunge la juu jimbo la Illinois, nchini Marekani ni baraza kuu katika dola hili likiwa na jukumu la kupitisha sheria zinazohusu jimbo hilo.
Bunge סוואהילית הגייה עם משמעויות, מילים נרדפות, הפכים, תרגומים, משפטים ועוד.